Tuesday, December 4, 2012

UGANDA KUIKABILI KILI STARS KWENYE NUSU FAINALI.



 Wachezaji wa timu ya Uganda wakishangilia goli lililofungwa kipindi cha kwanza wakati wa mchezo wa robo fainali ya nne dhidi ya Ethiopia ya michuano ya Cecafa Challenge uliofanyika katika Uwanja wa Nelson Mandela, Nambole nchini Uganda.Uganda imefanikiwa kuingia kwenye nusu fainali baada ya kuifunga Ethiopia mabao 2:0
 Mshambuliaji wa timu ya Uganda Robert ssentongo akiambaa na mpira wakati wa mchezo wa robo fainali ya nne ya michano ya Cecafa Challenge dhidi ya timu ya Ethiopia uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela, Nambole nchini Uganda.
Ssentongo ndiye aliifungia Uganda bao la pili na la ushindi.
Mshambuliaji wa timu ya Uganda, Hamis Kiiza akiruka kiatu cha beki wa timu ya Ethiopia wakati wa mchezo wa robo Fainali ya nne ya michuano ya Cecafa Challenge uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela, Nambole nchini Uganda.

UGANDA KUIKABILI KILI STARS KWENYE NUSU FAINALI.



 Wachezaji wa timu ya Uganda wakishangilia goli lililofungwa kipindi cha kwanza wakati wa mchezo wa robo fainali ya nne dhidi ya Ethiopia ya michuano ya Cecafa Challenge uliofanyika katika Uwanja wa Nelson Mandela, Nambole nchini Uganda.Uganda imefanikiwa kuingia kwenye nusu fainali baada ya kuifunga Ethiopia mabao 2:0
 Mshambuliaji wa timu ya Uganda Robert ssentongo akiambaa na mpira wakati wa mchezo wa robo fainali ya nne ya michano ya Cecafa Challenge dhidi ya timu ya Ethiopia uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela, Nambole nchini Uganda.
Ssentongo ndiye aliifungia Uganda bao la pili na la ushindi.
Mshambuliaji wa timu ya Uganda, Hamis Kiiza akiruka kiatu cha beki wa timu ya Ethiopia wakati wa mchezo wa robo Fainali ya nne ya michuano ya Cecafa Challenge uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela, Nambole nchini Uganda.